Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

โ€ข
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue.
Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika.
Ilikua ni bahati tu alimvizia na
kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua
anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit, boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali.
Siku hiyo Bakari alikua jikoni, boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss: Bakariiii!
Bakari: Naam baba!
Boss: nani anakunywa wine yangu?
Bakari kimyaaaa hajibu kitu!
Boss: Bakariiiii !
Bakari: naam baba!
Boss: nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?

Boss kimyaaaa!
Bakari: Baba babaa!
Boss:ndio Bakari!
Bakari: Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?

Boss kimyaaaaaaa!
Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!

Mke wa Boss akaingilia kati
Mama: nyie msinitanie kabisa mnasemaje?
Bakari: kweli mama ukiwa jikoni husikii kitu nenda uone

Mama akaenda na Bakari akaanza

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeee!
Bakari: hebu niambie hiyo mimba ni ya baba au yangu?
Mama kimya

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeeee!
Bakari: hebu niambie ukweli hiyo mimba ni ya baba au yangu??
Mama kimya

Mama akatoka nje: kweli humu jikoni kuna tatizo nilikuwa nasikia jina tu

AckySHINE Solutions
โœจ Join AckySHINE for more features! โœจ

Comments 237

Please log in or register to comment or reply.
๐Ÿ‘ฅ Stephen Kikwete Guest May 24, 2017
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! ๐Ÿ’ฐ
๐Ÿ‘ฅ Grace Wairimu Guest May 23, 2017
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜†
๐Ÿ‘ฅ Rose Amukowa Guest May 18, 2017
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! ๐Ÿคฃ
๐Ÿ‘ฅ Elijah Mutua Guest May 15, 2017
Nimecheka hadi nina furaha sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š
๐Ÿ‘ฅ Victor Sokoine Guest May 14, 2017
Hii ni joke ya kipekee sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ‘
๐Ÿ‘ฅ Victor Malima Guest Apr 20, 2017
Sikutarajia hiyo punchlineโ€”kichekesho! ๐Ÿคฃ
๐Ÿ‘ฅ Alex Nyamweya Guest Apr 10, 2017
๐Ÿ˜† Bado nacheka!
๐Ÿ‘ฅ James Kimani Guest Apr 9, 2017
๐Ÿ˜ Hii ni hazina ya kichekesho!
๐Ÿ‘ฅ Arifa Guest Apr 7, 2017
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! โ˜•๐Ÿ˜†
๐Ÿ‘ฅ Yusuf Guest Mar 2, 2017
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! ๐Ÿคฃ
๐Ÿ‘ฅ David Musyoka Guest Feb 22, 2017
๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚
๐Ÿ‘ฅ Omar Guest Feb 10, 2017
๐Ÿคฃ Kichekesho bora kabisa!
๐Ÿ‘ฅ Anna Sumari Guest Feb 2, 2017
Kweli mnajua kuchekesha watu! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚
๐Ÿ‘ฅ Diana Mallya Guest Jan 24, 2017
Hii imenibamba sana! ๐Ÿ˜…๐Ÿคฃ
๐Ÿ‘ฅ Edith Cherotich Guest Jan 11, 2017
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…
๐Ÿ‘ฅ Nora Lowassa Guest Dec 21, 2016
๐Ÿ˜„ Umeshinda mtandao leo!
๐Ÿ‘ฅ Azima Guest Dec 16, 2016
๐Ÿ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!
๐Ÿ‘ฅ Edith Cherotich Guest Nov 21, 2016
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! ๐Ÿ˜‚
๐Ÿ‘ฅ Faith Kariuki Guest Oct 15, 2016
Umetisha! ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ˜‚
๐Ÿ‘ฅ Ann Awino Guest Oct 12, 2016
Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜†
๐Ÿ‘ฅ Janet Mwikali Guest Oct 9, 2016
Hii imenifurahisha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…
๐Ÿ‘ฅ Joy Wacera Guest Sep 15, 2016
๐Ÿ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!
๐Ÿ‘ฅ Abdillah Guest Jun 21, 2016
๐Ÿ˜† Nacheka hadi chini!
๐Ÿ‘ฅ Samuel Were Guest Jun 6, 2016
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ๐Ÿ˜Š
๐Ÿ‘ฅ Agnes Lowassa Guest Jun 5, 2016
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘
๐Ÿ‘ฅ David Chacha Guest May 5, 2016
๐Ÿ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!
๐Ÿ‘ฅ Sarah Achieng Guest Apr 6, 2016
๐Ÿ˜„ Dhahabu ya vichekesho!
๐Ÿ‘ฅ Diana Mallya Guest Apr 2, 2016
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜†
๐Ÿ‘ฅ Peter Mugendi Guest Mar 27, 2016
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ๐Ÿ˜†๐Ÿ‘
๐Ÿ‘ฅ Lucy Mahiga Guest Mar 13, 2016
Huyu alikuwa na point! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ
๐Ÿ‘ฅ Susan Wangari Guest Feb 10, 2016
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜Š
๐Ÿ‘ฅ Joyce Nkya Guest Feb 2, 2016
Hii imenibamba sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…
๐Ÿ‘ฅ Robert Ndunguru Guest Jan 4, 2016
๐Ÿ˜… Bado ninacheka!
๐Ÿ‘ฅ Patrick Kidata Guest Dec 8, 2015
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜…๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚
๐Ÿ‘ฅ Lydia Wanyama Guest Nov 28, 2015
๐Ÿ˜† Ninakufa hapa!
๐Ÿ‘ฅ Hellen Nduta Guest Nov 28, 2015
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜†
๐Ÿ‘ฅ Majid Guest Nov 1, 2015
๐Ÿ˜ Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
๐Ÿ‘ฅ Christopher Oloo Guest Oct 28, 2015
Umesema kweli! ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ˜‚
๐Ÿ‘ฅ Francis Mtangi Guest Oct 25, 2015
Huu ucheshi hauna kifani! ๐Ÿคฃ๐Ÿ”ฅ
๐Ÿ‘ฅ Nora Lowassa Guest Oct 6, 2015
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…
๐Ÿ‘ฅ Rose Waithera Guest Oct 5, 2015
๐Ÿ˜† Naihifadhi hii!
๐Ÿ‘ฅ Agnes Sumaye Guest Sep 27, 2015
Hii imenikuna sana! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…
๐Ÿ‘ฅ Charles Mboje Guest Sep 24, 2015
Nimefurahia sana hii! ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜Š
๐Ÿ‘ฅ Nancy Komba Guest Sep 24, 2015
๐Ÿคฃ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
๐Ÿ‘ฅ Ann Awino Guest Sep 20, 2015
๐Ÿ˜ Hii ni dhahabu!
๐Ÿ‘ฅ Furaha Guest Sep 12, 2015
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! ๐Ÿ˜‚
๐Ÿ‘ฅ James Malima Guest Aug 25, 2015
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! ๐Ÿ˜ƒ
๐Ÿ‘ฅ Catherine Naliaka Guest Aug 8, 2015
๐Ÿ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!
๐Ÿ‘ฅ Joseph Kawawa Guest Aug 3, 2015
Nimeipenda hii joke! ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜‚
๐Ÿ‘ฅ Joseph Kitine Guest Jul 22, 2015
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…
๐Ÿ‘ฅ Margaret Mahiga Guest Jul 12, 2015
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! ๐Ÿ˜„
๐Ÿ‘ฅ Wilson Ombati Guest Jul 11, 2015
Hii imenichekesha sana! ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜‚
๐Ÿ‘ฅ Sharon Kibiru Guest Jul 1, 2015
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚
๐Ÿ‘ฅ Henry Mollel Guest Jun 11, 2015
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! ๐Ÿ˜…
๐Ÿ‘ฅ Mwakisu Guest May 31, 2015
๐Ÿ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
๐Ÿ‘ฅ John Lissu Guest Apr 29, 2015
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚
๐Ÿ‘ฅ Rukia Guest Apr 17, 2015
๐Ÿ˜ Imeongezwa kwenye vipendwa!

๐Ÿ”— Related Posts

๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About