Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Featured Image
237 💬 ⬇️

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Featured Image
Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, inabidi unisubiri mwembeni saa 1 usiku nitapita, mzee akafika saa 1 alikaa hadi saa 5 usiku, aliporudi nyumbani akamuuliza mkewe kwa hasira; sasa tumepanga nin halafu haujatokea ?
236 💬 ⬇️

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Featured Image
236 💬 ⬇️

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Featured Image

Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?"
Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh?
Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.

241 💬 ⬇️

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Featured Image
236 💬 ⬇️

Stori za simu za wavulana na wasichana

Featured Image
236 💬 ⬇️

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Featured Image
240 💬 ⬇️

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Featured Image
Polisi::: hodi, hodi Jamaa::: kimya Polisi::: hodi, hodi Jamaa::: we nani kwani? Polisi::: sisi polisi Jamaa::: mnataka nini?
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About