Mchaga aliyemshangaza Mungu
Updated at: 2024-05-25 17:14:22 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu… Dakika mbili nyingi Mchaga akakimbia na kapu la sadaka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Read more
Close
KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku
Updated at: 2024-05-25 17:09:35 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa 😆😆😆😆
Read more
Close
Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu
Updated at: 2024-05-25 17:01:11 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE….. 😂😂
Read more
Close
Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu
Updated at: 2024-05-25 17:12:32 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagonga mlango wake takribani masaa mawili,wakati hapa anaishi peke yake, kwakuwa sipendagi ujinga nimetoka nikamwambia mwenyewe kasafiri.Nae kaondoka.
Read more
Close
Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake
Updated at: 2023-04-29 22:53:06 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lolote kwa usahìhi ataondoka asiye jibu atabaki.
Dogo mmoja akatupa begi nje ya dirisha. Mwalimu akauliza nani katupa ilo begi nje? Dogo akajibu fasta mimi. Akafungua mlango akaenda kwao.
neno moja kwa dogo
Read more
Close
Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya
Updated at: 2024-05-25 16:52:24 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Njeri: Roysambu ni ngapi?Makanga: Roysambu ni moja tu. Pengine kama Chinese wamejenga ingine.
Odhis: Hii gari haina watu bana.Makanga: Kwani hao wawili wenye wamekaa hapo ndani ni ng’ombe?
Man: Wekeni nyimbo za Yesu tafadhali.Makanga: Yesu bado hajatoa album. Akitoa tutaeka.
Mwikali: Excuse me conda…gari za Mwingi zinapandiwa wapi?Makanga: Ziliacha kupandwa juu hazimei.
Man: Kwani mwisho wa gari ni wapi?Makanga: Mwisho ni hapo penye number plate iko.
Karis: Ruaka ni how much?Makanga: Sijaskia Ruaka ikiuzwa. But nikiskia nitakwambia.
Passenger: Shukisha dere.Makanga: Tukishukisha dere utaendesha gari?
Johnny: Maze, hii gari iko na joto sana.Makanga: Basi shuka upande fridge
Read more
Close
Maisha ya kijijini hadi raha!!
Updated at: 2024-05-25 17:53:06 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,
Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.
Jamaa akasema lala nae tena sina chenji!😀😀😀😀😀😀😀
Read more
Close
Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake
Updated at: 2024-05-25 16:58:35 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi Kama Ninakufa. Mke Akamwambia Nipe Namba Yako Ya Siri Nifungue Simu Yako. Mume Akasema👉👉 Basi Acha Tu; Kila Nafsi Itaonja Mauti 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Read more
Close
Raha ya kuoa kijijini
Updated at: 2024-05-25 16:54:13 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi daaaah wanaona wewe ni bonge la boss 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Read more
Close
Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?
Updated at: 2024-05-25 16:56:43 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana
..unaenda kuoga, unakumbuka kuwa umesahau sabuni…unaenda kuchukua sabuni kurudi bafuni, unakuta ng'ombe amekunywa maji yote..unaamua kufuata mengne,unarudi unakuta mbuzi kala sabuni…😂😂😂😂
Read more
Close