Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Wasichana wafupi wanafurahisha

Featured Image
238 💬 ⬇️

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Featured Image
MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!? MLEVI; "Ndio. MCHUNGAJI; "Kwa siku unakunywa bia ngapi!? MLEVI; "Nakunywa bia tano!
236 💬 ⬇️

Ndege ya Tanzania

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Featured Image
236 💬 ⬇️

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Featured Image
238 💬 ⬇️

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Featured Image

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwanza,
Taja vyakula vi3 ambavyo ukienda hotelini umelipiwa utapenda kula (marks 1)

WAVULANA wakajaza; wali, ugali, mihogo.
WADADA wakajaza; burger, pizza, egg chop. Swali la

 

236 💬 ⬇️

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Featured Image

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3. Hujapewa mbele?
4. Utapewa nyuma
5. Nitakupa nikikaa vizuri
6. Ngoja isimame nikupe

236 💬 ⬇️

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Featured Image

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja akafanikiwa kupanda akaondoka…

Yule aliyebaki akaanza kucheka sanaa mpaka machozi yakamtoka.

237 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About