Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

 

237 💬 ⬇️

Hali za ndoa

Featured Image
238 💬 ⬇️

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Featured Image
236 💬 ⬇️

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Featured Image
237 💬 ⬇️

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Featured Image

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na nyama nyingi tu, wakati anakula akagundua kuwa shemeji yake, mke wa rafiki yake hali nyama;

JAMAA: Aise hili ni bonge ya lanchi hii, lakini Levi mbona

236 💬 ⬇️

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Featured Image
237 💬 ⬇️

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Featured Image

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa kula 3 tu yatabaki mangapi?

Akamjibu hivi:nikipewa na chai hakibaki kitu mwalimu.

236 💬 ⬇️

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Featured Image
237 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About