Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Featured Image
Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata na mazungumzo yakawa hivi: SECRETARY: Boss leo umesahau kufunga geti nyumbani kwako… Boss akabaki anashangaa… Baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na Secretary wake.
236 💬 ⬇️

Ndege ya Tanzania

Featured Image
236 💬 ⬇️

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

Featured Image
1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!!! 2. Ka wafikiri Una haraka sana Shuka ukimbie. 3. Nauli kulipa lazima ,Chenji ukikumbuka.
237 💬 ⬇️

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Featured Image
236 💬 ⬇️

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Featured Image
236 💬 ⬇️

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Featured Image
238 💬 ⬇️

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Featured Image
Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujitazama akaona kama kavaa suti! then akaenda kama alivyo zaliwa kwa masela wenzake akawauliza vp suti imenikaa? Mvuta bangi mwenzie akamwambia "imekutoa kinyama ila tai umeifunga chini sana".
237 💬 ⬇️

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Featured Image
236 💬 ⬇️

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Featured Image
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu GIRL: Enhee… BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako GIRL: Ooh baby u care..
238 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About