Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Featured Image

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Binti akajibu, "bila samahani mama huku chini nina njia ya uzazi sio mashine ya photocopy"

238 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Featured Image
Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni: Nipe nianze na soda wakati chai inachemka. Mwenyeji: Utakunywa fanta au sprite? Mgeni: Nipe fanta wakati sprite inapoa.
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Featured Image
237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Featured Image

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshaharaโ€ฆ.. Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.

Msichana: Napika vizuri kuliko wewe.

Mama: Nani kakuambia?

237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Cheki huyu mtoto anachosema

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Featured Image
237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Gari na mke nini muhimu?

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About