Uzuri na ubora
Updated at: 2024-05-23 16:12:46 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Uzuri wa kitu huvutia MACHO lakini ubora wa kitu huuteka MOYO daima. Uzuri haudumu.
Read more
Close
Kushindwa jambo sio Makosa
Updated at: 2024-05-23 16:12:42 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kushindwa jambo sio Makosa, bali kuacha kufanya jambo kabisa ni makosa makubwa.
Read more
Close
Maneno na matendo
Updated at: 2024-05-23 16:12:39 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Uwe mzuri kwenye kufanya kama ulivyo kwenye kufikiri. Matendo yako yafanane na maneno na maneno na matendo.
Read more
Close
Maendeleo kwa mfano wa Kobe
Updated at: 2024-05-23 16:12:49 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Huwezi kupata maendeleo kwa kusitasita na kuogopaogopa. Hata kobe anayesonga mbele ni yule anayetoa kichwa chake kwenye gamba/nyumba yake.
Read more
Close
Hakuna uwezo Bila fursa
Updated at: 2024-05-23 16:12:47 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Hakuna uwezo bila fursa. Huwezi kusema unauwezo wa kitu kama hauna fursa ya kukifanya.
Read more
Close
Maisha ya ujana
Updated at: 2024-05-23 16:12:41 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Maisha ya ujana ni kufanya mema au mabaya, kushinda au kushindwa. Uzee ni sherehe au majuto ya ujana.
Read more
Close
Kinga ya magonjwa na madhara yote
Updated at: 2024-05-23 16:12:38 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Katika maisha, kinga kuu ya magonjwa na majanga yote ni kujikatalia au kujinyima.
Read more
Close
Changamoto na ugumu
Updated at: 2024-05-23 16:12:49 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Changamoto na ugumu wa jambo upo kwa wale wanaolifanya. Huwezi kukaa na kutazama jambo bila kulifanya na kisha kujua changamoto zake.
Read more
Close
Siri ya kushinda hasira
Updated at: 2024-05-23 16:12:41 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Siri kuu ya kuishinda hasira yako ni kusubiri kabla ya kutenda unapokuwa na hasira.
Read more
Close
Tamaa ni asili
Updated at: 2024-05-23 16:12:37 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Tamaa ni tabia ya kiasili ya kila mtu, tofauti ya mtu na mtu ni namna ya kukabili tamaa.
Read more
Close